STAA wa filamu za Kibongo, Aisha Bui
amepata mtoto wa kike aliyejifungua kwa njia
ya upasuaji lakini kumekuwa na usiri mkubwa
katika jambo hilo.
Staa wa filamu za Kibongo , Aisha Bui .
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni , Aisha
alisema anamshukuru Mungu kwa kumjaalia
mtoto wa kike aliyempa jina la Saloma.
“Nimefurahi sana, kumpata mtoto ni jambo la
kumshukuru Mungu na sasa najisikia raha
sana kuitwa mama, ” alisema Aisha na
kuongeza kuwa , mwanaume aliyezaa naye ni
mchumba wake wa siku nyingi ambaye
anaishi nje ya nchi na wanatarajia kufunga
ndoa siku si nyingi .
AISHA BUI AJIFUNGUA
5:19 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment