WAKUBWA TU !!!..JE WAJUA NINI HUSABABISHA HAMU YA KUFANYA MAPENZ KILA MARA , SOMA HAPA


Kuna mambo mengi sana ambayo husabisha
kuhisi hamu ya kuwa na mwanaume au
mwanamke kila mara hapa nitaorodhesha
machache yale ya muhimu.
1) Upweke mara nyingi hupelekea sana akili ya
mtu kuhama na kutafuta kitu mbadala cha
kuweza kujiliwaza na mara nyingi huchagua raha
za kimwili kama kufanya mapenzi au kuwa na
mwenza karibu.
2) Story za Mapenzi kama vile kusoma vitabu vya
mapenzi kuangalia picha zenye mvuto wa
kimahaba pia kusikia habari hizo vyote hivi
vinaweza kukusababishia hamu kubwa sana ya
kufanya mapenzi.
3) Kuzoea sana kufanya tendo hilo na mtu
ambaye uko karbu nae, na kisha mtu huyo
kuondoka au kutenga nae, hii hali inaweza kukupa
shida sana kwani huduma ya karibu tena hauna
hivyo utaishia tu kuwa na hamu sana ya tendo
hilo na kuanza kuhangaika kutafuta njia
mbadala.
4) Pombe na vilevi vingine pia huleta sana hamu
ya tendo la ndoa wakati mwengine watu hufikia
hata kubaka kwa kushindwa kujizuia.
Haya ndio machache makubwa yanayoweza
kusababisha mtu kupatwa na hamu ya tendo a
ndoa mara. Unaweza kuyaepuka...!!?

0 comments:

Post a Comment