STAA wa filamu za kibongo William Mtitu
amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake
mzazi , Mzee John Mtitu aliyekuwa amelazwa
Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na
kusumbuliwa na uvimbe kichwani
Akizungumza kwa masikitiko nyumbani
kwake Mabibo jijini Dar es Salaam , Mtitu
alisema amesikitishwa na kifo cha baba yake
lakini hana jinsi kwani Mungu amempenda
zaidi na hiyo ni njia ya kila mmoja .
Staa wa filamu za kibongo, William Mtitu.
“Ninachoweza kusema ni kwamba baba
ameniachia pengo kubwa , hakuna anayeweza
kuliziba, alikuwa ni mtu wangu wa karibu na
kifo chake sikukitarajia mapema hivi ,
nimejaribu kila njia lakini safari yake ilikuwa
imeshafika, namshukuru Mungu kwa kila
jambo ,” alisema Mtitu .
MTITU AFIWA NA BABA YAKE
1:57 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment