INSTAGRAM YAMLAZIMISHA RIHHANA KUTOA PIC ZAKE ZA UCHI INSTAGRAM

Tarehe 30 April, 2014 - Mtandao wa
Instagram wa mlazimisha Rihanna kuondoa
picha zake alizo post akiwa uchi.
Rihanna alilazimishwa kuondoa picha zake
chafu alizo post akiwa uchi kwenye mtandao
wa Instagram baada ya mtandao huo wa
kijamii kutishia kuifunga akaunti yake endapo
hata fanya hivyo.
Wiki hii Rihanna amekuwa akiweka picha
zake mbali mbali alizopiga katika photo shoot
mbalimbali huku akiwa uchi sehemu karibu
zote za mwili wake na kuziweka kwenye
mitandao ya kijamaii kama Instagram na
twitter.
Picha kama hizo zina kiuka sera na taratibu
za tovuti ya Instagram kitu kama hiki pia
kiliwahi mkuta "Madonna" na akajifunza
haraka sana baada ya kukiuka taratibu za
mtandao huu hapo mwaka jana.
Lakini kwa upande wa Rihanna yeye hakujali
sana bali alichokifanya ni kuifuta na kwenda
kuipost tena Kenye mtandao wa twitter.
Picha zenyewe zilizo zuiliwa na Instagram ni
hiz hapa..

0 comments:

Post a Comment