FLORA AFUNIKA KWA MAUNO


MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Flora
Mvungi amenaswa akiwafunika vibaya
mastaa wenzake kwa kunengua .
Mwigizaji wa sinema za Kibongo , Flora
Mvungi .
Mpambano huo usio rasmi ulichukuwa nafasi
wiki iliyopita katika Ukumbi wa New Maisha ,
Masaki jijini Dar ambapo kulikuwa na shoo
maarufu kwa jina la Bunyerobunyero .
Flora alipoulizwa na mwanahabari wetu juu
ya ufundi huo wa kucheza Kibao Kata
kilichokuwa kikipigwa na kuwazidi mastaa
kama Kajala Masanja , Zuwena Mohamed
‘ Shilole’ na Halima Haroun ‘ Kimwana ’ ,
hakuwa tayari kujibu zaidi ya kuendelea
kukatika.

0 comments:

Post a Comment