MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Flora
Mvungi amenaswa akiwafunika vibaya
mastaa wenzake kwa kunengua .
Mwigizaji wa sinema za Kibongo , Flora
Mvungi .
Mpambano huo usio rasmi ulichukuwa nafasi
wiki iliyopita katika Ukumbi wa New Maisha ,
Masaki jijini Dar ambapo kulikuwa na shoo
maarufu kwa jina la Bunyerobunyero .
Flora alipoulizwa na mwanahabari wetu juu
ya ufundi huo wa kucheza Kibao Kata
kilichokuwa kikipigwa na kuwazidi mastaa
kama Kajala Masanja , Zuwena Mohamed
‘ Shilole’ na Halima Haroun ‘ Kimwana ’ ,
hakuwa tayari kujibu zaidi ya kuendelea
kukatika.
FLORA AFUNIKA KWA MAUNO
12:13 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment