MWANADADA mkali wa Bongo Movies ,
Yobnesh Yusuph ‘ Batuli’ amefunguka kuwa
kwa sasa yupo tayari kuigiza nusu utupu kwa
sinema za nje ya nchi .
Mwanadafada mkali wa Bongo Movies,
Yobnesh Yusuph ‘ Batuli’.
Akipiga stori mbili- tatu na kona hii , Batuli
alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa
zinafungiwa kwa kukosa maadili na kwamba
kama ikitokea nafasi akaitwa nje ya nchi
kuigiza sini hizo , atakuwa tayari.
“Zamani nilikuwa nikiogopa kuigiza nusu
utupu. Wenzetu Nigeria wameendelea na
ndiyo maana wanaigiza hata nusu utupu ,
kama itatokea nafasi ya kuigiza huko ( nje ya
Bongo) nusu utupu, nipo tayari, ” alisema
Batuli.
BATULI AKUBALI KUIGIZA NUSU UTUPU
12:03 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment