TAARIFA YA MWANAUME TAPELI HAPA BONGO LIVE FROM RACHEL TEMU ONA HAPA!!


Rachel A. Temu
9 hrs ·
Hello wanazuoni wa Face Book kuna kijana mjini
hapa Dar Es Salaam anajiita Moses, jina la
mwisho sijalipata vizuri mwenye namba ya simu
255 787 762168. Anadai anafanya wizara ya
nishati na madini viwanja vyake vya mtoko ni
huko Oysterbay na Masaki.
Anadai anaishi Upanga.
Huyu Kijana ni TAPELI aliyekubuhu kushinda
hata gume gume aliyewashinda mitume.
Anatarget wasichana warembo ambao ni working
class and highly cooperate.
Anaangalia kama msichana ana gari nzuri na
mwenye mvuto na akikukaribia anajidai anataka
kufanya biashara ya spare part. Huyu kaka ni
mwizi yupo na mwenzie anayesema anafanya
kazi vizazi na vifo kumbe si kweli.
Kaka William William J. Malecela na Jestina
Meru naomba watu kama hawa watangazwe
kwani wanatumia madawa kuwaibia
wanawake.This is just a warning.
Huyu Mburullaaaaaz fanfanyoko wahedi
atangazwe nanajulikane tabia zake.
This is to all beautiful girls in Tanzania.

0 comments:

Post a Comment