JAY Z KUFANYA KUFURU KATIKA HONEYMOON YA BEST YAKE KANYE WEST

Jay Z ameripotiwa kumwambia rafiki yake wa
karibu kuwa yeye na mkewe Beyonce Knowles na
mtoto wao hawatahudhuria katika ndoa ya
swahiba wake Kanye West itakayofanyika mwezi
ujao jijini Paris Ufaransa.
Sababu za kutohudhuria ndoa hiyo zimeelezwa
kuwa ni kutokana na tukio hilo kupangwa
kuoneshwa kwenye reality show ya Keeping Up
with the Kardashians.
Hata hivyo, chanzo kimeliambia gazeti la The
Sun kuwa Jay Z amepanga kuwafanyia party
kubwa baada ya tukio hilo itakayofanyika New
York kwenye club yake ‘Club 40/40’ na kwamba
amepanga kutumia kiasi cha £100,000 katika
honeymoon yao kama zawadi yake.
“Instead he's making it up to his mate by
throwing him the most extravagant bachelor
party known to man. It will cost a small fortune
- and to top it all off, he's chucked a £100 000
yacht rental in there as a wedding gift as well.”
Kimeeleza chanzo hicho katika maelezo yake

0 comments:

Post a Comment