Irene Uwoya Aingia Katika Bifu na Frola mvungi Baada Ya Kusema H-baba Hajui Chochote Katika 6 Kwa 6


Uwoya amchana live mpenzi wa Flora Mvungi i.e
H-baba kwamba hafai katika mapenzi kwa
sababu hana stamina katika uwanja wa 6 kwa 6.
Flora Mvungi naye akaja juu na kudai kwamba
maneno ya Uwoya ni maneno ya mkosaji na
akadai zaidi kwamba H-baba hana tatizo katika
mapenzi na yuko fiti ile mbaya.
Wakati malumbano yakiendelea,dada mmoja
akapiga simu clouds fm,akakataa kutaja jina lake
lakini naye akazidi kuchagiza kwamba H-baba si
lolote si chochote katika ulingo wa ma-lovey
dovey,ana mbwembwe za kukata viuno jukwaani
tu.Haya ndio mapenzi ya ma-star wa ki-bongo.

0 comments:

Post a Comment