BEEF JIPYA JACK WOLPER NA AGNES MASOGANGE

Agness Masogange ambae aliwahi kutolewa
barua ya uchumba na Muhindi huyo mapema
mwaka huu, hata hivyo haikufahamika mambo
hayo yaliishia wapi.
Msanii Wolper akiwa na Prence Kass maarufu
kama Muhindi wa Masogange hapa nyota huyo
akionekana akiwa amelewa uso unamajibu kwani
hilo sio pozi la kawaida la mdomo kuubetua
kiasi hicho.
Na Sakina Shabani
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Xdeejayz
imenasa picha za msanii nyota wa filamu za
Kibongo Jackline Wolper akiwa na
mfanyabishara mmoja wa kihindi mwenye pesa
ndefu aliyefahamika kwa jina la Prence Kass
maarufu kama Muhindi wa Masogange.
Picha hizo zinazowaonesha wawili hao wakiwa
kwenye moja ya viunga vya Club ya usiku iliyopo
Oysterbay/ Masaki ambapo hata hivyo uhalisia
wa picha hizo unamuonesha Wolper akiwa bwii
kiasi cha kuubetua mdomo wake ambapo sio
kawaida kwa mtu mwenye ufahamu na staa
kama yeye kupiga picha zenye pozi baya kama
hizi.
Prence Kass ambae aliwahi kumchumbia Agness
Masogange hadi kwa mjombaake na msichana
huyo anawafunika mastaa wote bongo kwa
makalip yake tata na kila kitu kilikuwa kinaenda
swa kuhusu suala la kumuoa kwani Prence
alishamtengea zaidi ya milioni 40 ili
kumuachisha na mambo ya sanaa ili amfungulie
maduka.

0 comments:

Post a Comment