Haya matusi yakaanza;
Kuna jamaa anatumia kimsales87 katika instagram alionekana kumtetea Zamaradi na kumsema Ray C kua kwa nini aliweka hiyo picha hapo juu lakini namna aliyotumia ilikua full matusi,akakutana na kibonde chake kinatumia matikibokoyao ilikua ni kama alshabaab ya matusi; tutaweka picha za namna walivyotukanana na kujibizana endelea kutiririka nasi............
Jamaa akaonekana kuchemsha chezea mtoto wa Tandale wewe uswahilini degree yako ambayo hujamaliza inawekwa pembeni huku ni maneno unaweza chambwa ukazimia.........
Yalaaaaaaaaaaaa.......................mtoto wa uswazi akaporomoka
0 comments:
Post a Comment